Kuhusu TCRA SACCOS

TCRA SACCOS ilianzishwa mwaka 2006 ambapo watumishi wa TCRA walikubaliana kuanzisha Mfuko wa Kusaidiana Mamlaka ya Mawasiliano (MKM). Uchaguzi uliitishwa na waanzilishi wa mfuko kwa pamoja walimchagua mwenyekiti wao wa kwanza, Mhandisi James M. Kilaba.

TCRA SACCOS inatoa huduma nyingi za biashara, uchumi,
mauzo ya rejareja na jumla, na mengine mengi

Bonyeza Hapa Kujiunga 

NENO KUTOKA KWA MWENYEKITI

Tunafurahi kwa kuwa umetembelea tovuti yetu. Pitia kurasa zetu ujue zaidi kuhusu mchango wa TCRA SACCOS kwa jamii, na huduma tunazotoa. Ukiwa na swali lolote, wasiliana nasi kwa simu, barua pepe, au mitandao ya jamii. KARIBU.

SOMA ZAIDI

MAENDELEO YA TCRA SACCOS

Kipindi kati ya Desemba 2021 na Desemba 2022 kimeshuhudia ukuaji katika maeneo kadhaa ya kifedha. Akiba imeongezeka kwa asilimia 14.7%, mikopo imeongezeka kwa asilimia 27.3%, huku amana zikiongezeka kwa kasi kubwa, kwa asilimia 137%. Hata hivyo, kiwango cha hisa kimepungua kwa asilimia 28.4%.

Akiba imefikia shilingi bilioni 3.58 kutoka shilingi bilioni 3.12, huku mikopo ikiongezeka kutoka shilingi bilioni 3.69 hadi bilioni 4.69. Amana zimekua kutoka shilingi milioni 92.5 hadi milioni 219.4, na thamani ya hisa imepungua kutoka shilingi bilioni 1.26 hadi milioni 900 katika kipindi cha Desemba 2021 hadi Desemba 2022.

VIDOKEZO

Kuanza Biashara ya Utengenezaji wa Viatu vya Ngozi

Kuanza biashara ya utengenezaji wa viatu vya ngozi nchini kunatoa fursa ya kipekee ya kuvutia soko la ndani na la ...

Ukulima na Mnyororo wa Thamani ya Parachichi

Ukulima wa parachichi nchini Tanzania ni fursa yenye faida kubwa kwa wajasiriamali kutokana na mahitaji makubwa ya parachichi katika soko ...

Nguvu ya Jua kwa Biashara Endelevu

Utangulizi Mikoa kadhaa ta Tanzania inajulikana kwa hali ya hewa yenye jua kali, ambalo linatoa fursa kubwa za matumizi ya ...

Jukumu la Mtandao katika Ujasiriamali: Kujenga Uhusiano Muhimu

Mtandao katika Ujasiriamali Mtandao wa uhusiano na uunganisho wa kibiashara ni mojawapo ya nyenzo muhimu za kufanikiwa katika ulimwengu wa ...
kujiunga na saccos kunaweza kuharakisha ukuaji wa biashara yako

Kujiunga na TCRA SACCOS na Ukuaji wa Biashara Yako

Ukuaji wa Biashara na TCRA SACCOS Kujiunga na TCRA SACCOS ni njia bora ya kuharakisha ukuaji wa biashara yako. Hapa ...
Mwongozo Kamili wa Kuanzisha Biashara Inayofanikiwa

Mwongozo Kamili wa Kuanzisha Biashara Inayofanikiwa

Hatua za Kuanzisha Biashara Yako Kuanzisha biashara inayofanikiwa ni ndoto ya wengi, lakini inaweza kuwa changamoto kadhaa katika kuanzisha. Hapa ...

MIRADI

Kuanza Biashara ya Utengenezaji wa Viatu vya Ngozi

Kuanza biashara ya utengenezaji wa viatu vya ngozi nchini kunatoa fursa ya kipekee ya kuvutia soko la ndani na la ...

Ukulima na Mnyororo wa Thamani ya Parachichi

Ukulima wa parachichi nchini Tanzania ni fursa yenye faida kubwa kwa wajasiriamali kutokana na mahitaji makubwa ya parachichi katika soko ...

Maandalizi ya Andiko la Mradi na Mpango wa Biashara – I

Mambo ya kuzingatia unapotaka kuaandaa andiko la mradi (project proposal) au mpango wa biashara (business plan). Utangulizi: Staili ya uandishi ...

Manufaa ya Kujiunga na SACCOS

SACCOs ni tofauti na vyombo vingine vya akiba ya fedha kwa sababu kadhaa. Wanachama wa SACCOs wanaweza kuhifadhi pesa, kununua ...

Kilimo

Wanachama wanaweza kuwekeza kwenye miradi ya uzalishaji mimea, au ufugaji wa wanyama ...

Boda boda

Biashara ya boda boda ni chanzo kizuri cha kipato cha uhakika kulingana na uhitaji wa mwananchi wa kawaida. Uwekezaji katika ...

Mifuko ya Hifadhi

Uwekezaji kwenye mifuko ya jamii kama UTT AMIS ni njia nzuri ya kuwekeza fedha kwa kipindi kirefu. Kadri muda unavyoendelea, ...

Jiunge na TCRA SACCOS, kukuza miradi, mitaji, na kuboresha hali ya maisha

KARIBU