Mhandisi Mkuu Mwandamizi wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania, Joel Chacha amefariki dunia tarehe 26 Desemba 2021 akiwa kwenye mazoezi ya viungo nyumbani kwake Dar es Salaam na kuzikwa Tarime, mkoani Mara tarehe 30 Desemba. “TCRA tumempoteza mmoja wa wataalamu wetu mahiri na aliyebobea katika tasnia ya uhandisi wa mawasiliano”, Mkurugenzi Mkuu wa TCRA, Dr. Jabiri…

Rais John Pombe Joseph Magufuli, ambaye alifariki dunia tarehe 17 Machi 2021 alinzisha mipango ya kuinua na kuendeleza shughuli za ushirikika kwenye ngazi zote na kukuza ujasirimali. Hotuba yake wakati wa kuzindua Bunge la 12 tarehe 13 Novemba 2020 na Ilani ya Uchaguzi ya CCM vimeainisha mipango ya kupanua huduma za kifedha na upatikanaji wa…

Maandalizi ya sera na masharti ya chama kwa ajili ya kuomba leseni yanaendelea.

Mchakato wa kuchukua na kurejesha fomu za kugombea uongozi ndani ya TCRA SACCOS unaendelea. Wanachama wanaruhusiwa kuwania nafasi katika uchaguzi kwa kujaza fomu ya maombi (Kwa mujibu wa kifungu cha 9 cha jedwali la sheria ya vyama vya ushirika No. 6 ya mwaka 2013).

(Kwa mujibu wa kifungu cha 9 cha jedwali la sheria ya vyama vya ushirika No. 6 ya mwaka 2013)