Kuanza biashara ya utengenezaji wa viatu vya ngozi nchini kunatoa fursa ya kipekee ya kuvutia soko la ndani na la kimataifa, kwa kutumia urithi wa kitamaduni wa nchi na sekta ya utalii inayokua. Mwongozo huu wa kina unajumuisha vipengele vikuu vya kuanzisha na kusimamia biashara ya utengenezaji wa viatu vya ngozi, ikiwemo utafiti wa soko,…

Ukulima wa parachichi nchini Tanzania ni fursa yenye faida kubwa kwa wajasiriamali kutokana na mahitaji makubwa ya parachichi katika soko la kimataifa. Tanzania inafahamika kua muuzaji wa tatu Afrika nyuma ya Kenya na Afrika Kusini, tukizalisha tani 7,000 za parachichi kwa mwaka (TIC, 2019). Makala hii inatoa muhtasari wa kina wa mnyororo wa thamani wa…

Mambo ya kuzingatia unapotaka kuaandaa andiko la mradi (project proposal) au mpango wa biashara (business plan). Utangulizi: Staili ya uandishi Katika kuendesha shughuli zetu za ujasiriamali, kuna wakati tutahitaji kupanua shughuli zetu na hivyo kuhitajika kuomba mkopo au kuingia ubia wa kibiashara na mhusika mwingine. Kwa vyovyote vile, utahitajika kuwasilisha taswira ya shughuli unayoifanya ili…

SACCOs ni tofauti na vyombo vingine vya akiba ya fedha kwa sababu kadhaa. Wanachama wa SACCOs wanaweza kuhifadhi pesa, kununua hisa, na kuchukua mikopo kwa riba nafuu. SACCOs hua na miongozo na kanuni za kawaida na za kipekee kulingana na malengo au makubaliano ya wanachama. Mazoea ya Kuhifadhi Pesa Mara kwa mara, watu huwaza kwamba…

Wanachama wanaweza kuwekeza kwenye miradi ya uzalishaji mimea, au ufugaji wa wanyama.

Biashara ya boda boda ni chanzo kizuri cha kipato cha uhakika kulingana na uhitaji wa mwananchi wa kawaida. Uwekezaji katika hii sekta inaweza kupatia mwanachama kipato kinachoweza kusaidia miradi mingine.

Uwekezaji kwenye mifuko ya jamii kama UTT AMIS ni njia nzuri ya kuwekeza fedha kwa kipindi kirefu. Kadri muda unavyoendelea, mwekezaji anaendelea kupata riba kulingana na kiasi alichowekeza.